Monday, 6 November 2017

How to Start a Successful Poultry (Chicken) Farming Business

Tanzania is a nation of meat lovers, and kuku (chicken) is consumed in large amounts throughout the year.
Even as prices rise, people are still willing to pay to get their poultry fix. For instance, in the past 3-years popular chicken sellers have raised their prices for a 1.3 kg chicken from around TZS 6,000 to TZS 9,000. However, they are still making a profit.
As a result, this makes poultry farming a potentially profitable business to start, as the demand for chicken is always high. And luckily, the market is not fully saturated with sellers – as long as people want to eat chicken then there’s always room for more poultry farms.
Why is poultry farming a profitable business?
·      Increased awareness of health issues associated with red meat has made chicken consumption a great alternative for many.
·      Chickens mature very quickly, meaning the business has the potential to generate high returns on your investment in a short period of time.
·      Not just households consume chickens, but a great number of restaurants, hotels, and other food services in Tanzania usually have chicken on their menu
So if you’re interested in making some money and starting your own poultry farm. Here are the steps you need to take:
1. Pick the type of bird you will have
While most people have chicken farms, there are several types of birds you can specialize in. These include:
  • Domestic fowl
  • Duck
  • Turkey
  • Guinea fowl
  • Goose
  • Quail
However, for now, we will just focus on domestic fowl (regular chicken).
2. Decide on the type of poultry farm you want
There are a number of things you can do as a poultry farmer, these include:
·      Breeding chickens for sale
·      Producing eggs for sale
·      Producing chicken meat for sale
·      Producing poultry feed (chicken food) for sale
·      Processing eggs and chicken meat for sale
The niche you pick will be determined by your capital, and the demand in your area.
So for instance, chicken meat and eggs have high demand in Dar es Salaam. However, it’s a more saturated market than in many other areas, so if you have enough money then processing eggs and chicken meat or even offering refrigerated storage facilities and transport could be a more lucrative option.
So it’s important to do your research (ask other poultry farmers) on what type of poultry farming is profitable in your area and how much it will cost you to start. However, for this article, we will focus on poultry farming for egg and meat production.
3.  Do you have enough money?
The size of your poultry farm will depend on your capital. In general:
·      A small farm will need capital of about TZS 1.5 mill – TZS 3 mill
·      A medium sized farm will need capital of about TZS 4 mill – TZS 10 mill
·      A big farm will need capital of about TZS 20 mill and more.
4. Where will your farm be located?
When picking a location, consider:
·      Is the land affordable?
·      Are the costs of transportation of eggs and meat low? Is it close to the market and your buyers?
·      Do too many people live in the area? This may cause problems because of the bad smell from the poultry farm.
·      Is the area safe? Does it have a history of theft or wild animals that may kill the chickens?
Instead of finding a new plot of land, some people build their chicken farm in their own backyard. This greatly reduces costs, but it also requires some consideration, including:
·      The constant bad smell of chickens and chicken droppings that will be in your backyard. This may also bother your neighbors.
·      Are there any land regulations in your area against farming animals on your property? You should consult your district’s office (serikali za mtaa) to verify if any additional steps need to be taken before you start your farm.
5. What type of housing system will you use for your birds?
How you house your birds is very important to the profitability of your farm. The more elaborate the system is, the more successful your farm will be. There are three main types of housing systems:
Free-range: This is the old school poultry farming system where you allow the chickens to roam freely outside and feed them regularly. While this is considered the most humane way to raise chickens, it is not the most profitable as there are a lot of risks involved including;
·      Predators may harm chickens
·      People may still chicken
·      Chickens may get lost
·      It’s hard to identify sick chickens so diseases may spread quickly
·      More difficult to monitor growth of chickens
However, this system is easy to set up and afford.
Chicken Litter/Deep Litter System: This is the most popular housing system for small and medium sized chicken farms. The chickens are put in an enclosed area (with either a wired fence or concrete wall), and wood shavings or sawdust are spread on the ground as bedding for the chickens.
This system enables farmers to manage a large number of chickens with more security. However, like the free range method, it also allows for diseases to spread quickly as it’s difficult to single out sick birds.
Battery Cage: This is a very common system for large-scale poultry farmers,  as it has the least amount of risk involved – though it can get quite expensive. Chickens are placed in small metal cages containing a feeding and water rack. A small number of chickens are in each cage, and they also have room for laying eggs. Because of the separation the chickens get, it is easy to spot chickens which are ill or not producing eggs.
In addition to constructing the house for the birds, you will need a decent amount of equipment and facilities for your poultry farm. This includes:
  • Drinkers
  • Feeders
  • Nests
  • Perches
  • Lighting system
  • Crates
  • Incubator
  • Waste disposal system
  • Egg tray
  • Heaters or brooders
  • Cages and coops

Find the equipment you need, here.

7. How will you feed your birds?
Just like humans, in order to grow and be healthy, birds must eat. In fact, feeding your birds will take up the majority of your costs. What you need to figure out is, will you buy their food or make it yourself?
Making your own poultry feed requires more capital, however, over time it lowers costs than continuously buying feeds from elsewhere. Moreover, it can be another source of income if you also sell your poultry feed to other farmers. However, this may be a more feasible method for bigger farms with more capital.
All in all, your decision will depend on researching each option and figuring out if the costs will yield you the benefits you want.
8. Who do you need to hire?
No matter how small the poultry farm is, unless it’s your full-time job, you will need to hire some staff to help you run things. They should include:
·      Manager/Accountant: This person will oversee the daily running of your business, calculate and manage costs, sales, and overall profits.
·      Farm Hand: Monitor the state of the chickens, feeding times, growth and habits.
·      Security Guard: Protect your farm against theft of chickens, money or equipment.
·      Marketer: You can do this job, but essentially you need to find ways to market your farm online on directories like ZoomTanzania, social media and offline with flyers, street advertisements and more.
9. Vaccines for the chickens, and regular health check-ups
As your farm grows, it’s important to consult a veterinarian and get your chickens vaccinated to prevent disease epidemics from spreading amongst your flock, and even worse, to your customers.
Remember, the number one factor that clients care most about is not your price but the the health of your chickens and freshness of your eggs and meat. (Though a competitive price is always good for business).
A business that pays off
Starting a chicken farm requires some dedication but once the profits start coming in you will be glad you did it!

Wednesday, 17 May 2017

Guardiola: Nisingeshinda kombe, Barcelona na Bayern wangenifuta

Meneja wa Manchester City Pep Guardiola
Meneja wa Manchester City Pep Guardiola amesema angekuwa amepigwa kalamu na klabu zake za hapo awali za Barcelona na Bayern Munich kama angekamilisha msimu bila kupata kikombe chochote.
City imeshindwa kupata ushindi tangu Guardiola alipoanza kuiongoza mwanzo mwa msimu huu, na hawana uhakika kumaliza katika nafasi nne bora katika ligi ya Premia licha ya kusalia na mechi mbili.
Upande wa Guardiola ulipoteza katika hatua ya timu 16 bora katika ligi ya klabu bingwa ulaya ,nusu fainali ya kombe la FA na kombe la ligi katika raundi ya nne.
"Katika hali yangu katika klabu kubwa , Ningefutwa. Ningetoka," Amesema mhispanio huyo.
Ingekuwa ni Barcelona au Bayern kukosa kushinda basi utatolewa. Hapa nina nafasi ya pili na nitajikaza kufanya vyema msimu ujao.
City wanahitajika kupata ushindi katika fainali ya mchezo wa ligi ili kujipatia nafasi ya tatu mbele ya Liverpool na Arsenal ili wapate tiketi ya moja kwa moja kujiunga na msimu ujao katika ligi ya Champions.


Watawakaribisha nambari nane West Brom siku ya Jumanne kabla safari yao ya Jumapili kuelekea Watford ambao wako katika nafasi ya 16.Jeduali ya timu sita bora katika ligi ya PremiaMhispania huyo aliyechukua nafasi ya Manuel Pellegrini msimu uliopita, alikuwa na matumaini makubwa baada ya kutoka katika timu za Barcelona na Bayern akiwa na matarajio makubwa.
Kiungo huyo wa kati wa zamani wa Barcelona mwneye umri wa miaka 46, aliongoza Catalan kujinyakulia vikombe 14 kwa miaka 4 ikijumuisha kushida taji mara tatu ligi ya La Liga na mara mbili ligi ya Champions katika mwaka 2008 na 2012.
Baada ya mapumziko ya mwaka mmoja , alijiunga na klabu kubwa ya Ujerumani ya Bayern mwaka 2013 na kushinda ligi ya Bundesliga katika misimu yote mitatu aliyoiongoza katika uwanja wa Allianz Arena
Bayern pia ilishinda kombe la Ujerumani mara mbili wakati huo lakini Guardiola hakuweza kuowaongoza kufuzu katika nusu fainali ya ligi ya klabu bingwa ulaya.
Mashabiki wa City walitumai kuwasili kwake, kutawapatia ushindi wao wa kwanza katika ligi ya Premia katika misimu mitatu, licha ya kushinda mechi sita za ufunguzi , wamepata changamoto nyingi za kumaliza katika nafasi ya timu nne bora.
Arsenal ambao wako katika nafasi ya tano wanamatumaini kuchukua nafasi iwapo City itashindwa kupata alama katika michuano yao miwili, Lakini Guardiola amempuzilia mbali meneja wa Gunners Arsene Wenger kwamba ''timu nyengine ziko likizoni.''
''Sijawahi kumuona hata mchezaji mmoja maishani mwangu akienda uwanjani bila ya kujaribu kupata ushindi, alisema.
Arsenal itacheza dhidi ya Sunderland na Everton ambayo moja imeshushwa daraja na moja iko katika ligi ya bara ulaya kwa hivyo iko katika hali sawa.

Waziri wa zamani afaulu mtihani akiwa na miaka 82 India

Bw Chautala alihudumu kama waziri mkuu wa jimbo la Haryana kaskazini mwa India kwa mihula minneWaziri wa zamani ambaye anatumikia kifungo gerezaji baada ya kupatikana na kosa la kula rushwa amefaulu mtihani wa kumaliza shule India akiwa na miaka 82.
Om Prakash Chautala, aliyehudumu kama waziri mkuu wa jimbo la Haryana kaskazini mwa India kwa mihula minne, alifanya mtihani wa darasa la 12 akiwa katika jela ya Tihar mjini Delhi.
Mwanawe wa kiume Abhay Chautala alisema babake aliamua "kutumia vyema muda wake gerezani".
OP Chautala alipatikana na makosa kuhusiana na kuajiriwa kwa walimu.
Abhay Chautala aliambia gazeti la Indian Express kwamba babake amekuwa kila siku akienda kusoma katika maktaba ya gereza hilo.
"Husoma magazeti na vitabu. Huwa anawaomba wafanyakazi wa jela kumtafutia vitabu avipendavyo zaidi. Husoma vitabu kuhusu wanasiasa maarufu duniani,2 amesema.
Bw Chautala na 54 wengine, walipatikana na hatia ya kughushi vyeti walipokuwa wanwaajiri walimu 3,206 kati ya 1999 na 2000.
Waendeshaji mashtaka walisema watu waliokuwa wamehitimu zaidi walikataliwa na badala yake wale waliokuwa wametoa hongo wakaajiriwa.
Bw Chautala ni kiongozi wa chama cha Indian National Lok Dal Party na ni mwana wa aliyekuwa naibu waziri mkuu Devi Lal.

Kiongozi wa zamani wa FBI kuchunguza iwapo Urusi iliingilia uchaguzi wa Marekani Saa moja iliyopita Hivi ni viunganisho vya nje na vitafungua katika dirisha mpya Sambaza habari hii Facebook Sambaza habari hii Twitter Sambaza habari hii Messenger Sambaza habari hii Email Mshirikishe mwenzako


Robert Mueller aliingoza FBI kuanzia 2001 - 2013Wizara ya sheria nchini Marekani, imetangaza kuteuliwa kwa mwendesha mashtaka maalum atakae ongoza uchuguzi wa tuhuma kwamba Urusi iliingilia uchaguzi wa marekani wa mwaka jana.
Mwendesha mashtaka huyo aliwahi kuwa mkuu wa shirika la kijajusi la FBI, Robert Mueller.
Pia katika uchunguzi wake, atazingatia iwapo kulikuwa na mwingiliano wa aina yoyote kati ya Urusi na timu ya kampeni ya Trump.
Taarifa iliyotolewa na wizara ya sheria nchini humo imesema uchunguzi huo utaongozwa na mtu asiyeegemea upande wowote kwa ajili ya maslahi ya umma.
Tangazo hilo linafuatia utata uliogubikwa kufuatia kufutwa kazi kwa wiki moja iliyopita kwa James Comey, ambae ndie aliyekuwa akiongoza uchunguzi huo.

Thursday, 30 March 2017

KILIMO BORA CHA NYANYA

NYANYA (TOMATOES)-Lycoperscon esculentum



UTANGULIZI
 Nyanya ni aina ya mboga inayo zalishwa kwa wingi sana
duniani. Kwa Tanzania, nyanya ni zao la kwanza katika mazao
ya mboga linalo limwa na kuliwa kwa wingi ukilinganisha na
mboga zingine. Nyanya hutumika karibu katika kila mlo.
Nyanya ni zao umuhimu kama chakula na pia kama
zao linalomwingizia kipato mkulima.

HALI YA HEWA INAYOFAA KWA KILIMO CHA NYANYA
Mahitaji ya zao la nyanya
Nyanya hustawi vizuri kwenye maeneo ya joto, yasiyo na
ukungu mwingi hasa wakati zao linatoa maua na matunda. Zao
hili hupenda kipindi kirefu cha jua na joto ili kuongeza ukuaji wa
matunda na kupunguza magonjwa ya aina ya ukungu/kuvu. Zao
hili halipendi mvua nyingi ingawa linahitaji maji kwa wingi.
Katika kipindi chenye mvua nyingi na jua kidogo nyanya
hushindwa kutoa maua na matunda ya kutosha bali huweka
majani mengi. Katika kipindi hiki pia, nyanya hushambuliwa
sana na magonjwa ya ukungu.

UDONGO UNAOFAA KWA KILIMO CHA NYANYA
Nyanya hupendelea udongo unaopitisha maji kwa urahisi na
wenye rutuba ya kutosha na hivyo hupenda samadi. Udongo
uwe umetifuliwa vya kutosha kuruhusu mizizi kushika vema.

AINA ZA NYANYA
Kuna aina kuu mbili za nyanya kulingana na ukuaji wa mmea:
yaani:
1>> Nyanya zinzorefuka zenye kuhitaji egemezi (mfano
Money maker)
Image result for Picture of money maker tomatoes plant
2>> Nyanya fupi zenye kutoa matawi
mengi mfano Roma,Tanya na Cal J.
 Image result for Picture of roma vf tomatoes plant

 KIASI CHA MBEGU
kwa ekari moja utahitaji Mbegu gram 100-150 kwa OPV variety, na Gram 30-50 kwa hybrid (F1) . Gharama za kutosha eka moja kwa OPV variety ni tsh 100,000-180,000, na kwa Hybrid (F1) Gharama ni kati ya tsh 200,000-400,000 kutegemea na aina yenyewe ya mbegu.

UKUZAJI WA MICHE YA NYANYA
Miche ya nyanya huzalishwa kwenye kitalu kwa kupanda
mbegu. Mbegu za nyanya huota baada ya siku 5 hadi 10.
Baada ya kukua kitaluni kwa muda wa wiki 4 hadi 5 toka kuota
kwa mbegu, miche hupandwa shambani. Kabla ya kupandikiza
shambani miche huandaliwa kwa kupunguza umwagiliaji maji
kwa siku moja au mbili ili miche izoee hali ngumu kabla ya
kuhamishiwa shambani.
Hapo shambani miche hupandikizwa kwa kuzamishwa katika
kina kirefu zaidi ya ilivyo kuwa kitaluni. Hii inasaidia miche kutoa
mizizi ya pembeni mingi zaidi kwa ajili ya kufyonza maji pamoja
na virutubisho aridhini. Baada ya kupandikiza mwagilia maji ya
kutosha. Usimwagilie maji juu ya mche wa nyanya. Katika
kipindi cha jua kali, tandaza nyasi kwenye tuta ili kupunguza
upotevu wa maji na unaweza kuweka kivuli kwa kutumia majani
ya miti au migomba.
Kulingana na aina ya nyanya na rutuba ya udongo, nafasi ya
kupandia ni sm 60 kati ya mstari hadi mstari na 45 hadi 60
nafasi ya mche hadi mche AU sm 90 kwa 50 AU 75 Kwa 40.  Kama udongo hauna rutuba ya
kutosha inapendekezwa kutumia nafasi kubwa ya kupanda.
Utunzaji wa zao la nyanya 
Nyanya fupi zisizo refuka kwenda juu, ni rahisi sana kutunza na
hazihitaji huduma nyingi. Tatizo kubwa ni kuwa kwa kutambaa
chini, katika kipindi cha mvua huwa karibu na magonjwa
yatokanayo na udongo. Katika kipindi cha jua kali, matunda
huungua kwani mmea huwa na majani machache tu yanayo
kinga matunda yasipigwe na mionzi ya jua.

MBOLEA
Licha ya mbolea ya kupandia, unashauriwa kuongeza mbolea
kipindi cha wiki mbili au tatu baada ya kupandikiza miche
bustanini. Mbolea hii ya kukuzia iwekwe kuzunguka shina la
mmea kwa umbali wa sentimeta 5 hadi saba kutoka kwenye
shina. Kwa mbolea kama vile CAN, NPK, au SA tumia kifuniko
kimoja cha soda kwa shina. Mbolea hii inaweza kuwekwa mara
mbili kabla ya mvuno wa kwanza. 
Ili kurefusha kupindi cha uzaaji wa zao la nyanya (na hata
mazao mengine  yatoayo matunda kama vile nyanya chungu,
biringanya, pilipili hoho, nk) inapaswa kuongezea mbolea katika
kipindi cha uvunaji mfano baada ya kuvuna mara mbili
unashauriwa kuongeza mbolea ya samadi na mbolea kama vile
NPK. Hii inasaidia mmea kuendelea kutoa maua bila kuchoka.
Kwa kawaida nyanya fupi jamii ya “Roma” huweza kuzaa na
kuvunwa kwa kipindi cha wiki 6 hadi 8 tu. Lakini kama utakuwa
unaongezea mbolea na kukazania matunzo ya bustani (hasa
usafi wa bustani na kumwagilia maji ya kutosha), nyanya
zinaweza kuendelea kuzaa kwa muda mrefu zaidi. Hii ni tofauti
na mazoea ya wakulima wengi kuwa mara nyanya zianzapo
kuzaa huduma za palizi na usafi wa shamba huachwa na kutilia
maanani kazi ya kuvuna pekee. Hii inajitokeza zaidi kwenye
aina ya nyanya fupi.
Kwa nyanya fupi ni vizuri kuhakikisha kuna matawi mengi
iwezekanavyo ili kuweza kupata matunda mengi zaidi. Hivyo
usipunguze matawi katika aina hii ya nyanya. 
Kwa nyanya ndefu zenye kuhitaji egemezi,tunashauriwa kukuza
nyanya kwa tawi moja lisilo na vichipukizi pembeni au matawi
mawili na kuacha mnyanya urefuke.
Kupunguza majani ni muhimu pia katika kupunguza
maambukizo ya ukungu katika shina na pia kutoa nafasi ili
mwanga kupenya na kuruhusu mzunguko wa hewa. Majani
yapunguzwe kipindi cha asubuhi kwa kutumia mkono na siyo
kisu kwani kinaweza kueneza magonjwa kutoka mche hadi
mche. 
Kwa nyanya ndefu, majani ya chini ya matunda huondolewa
kadiri unavyo endelea kuvuna. Unashauriwa upunguze majani
wakati wa asubuhi kwa kutumia mkono na pia usitoe zaidi ya
majani matatu katika mmea kwa mara moja.

UMWAGILIAJI WA NYANYA
Nyanya ni zao linalohitaji maji mengi sana kwa ajili ya ukuaji wa
mmea na matunda yake. Umwagiliaji uwe wa kulingana kwa
kila siku iliyo pangwa. Usibadilishe ovyo kiasi cha maji na ratiba
ya kumwagilia. Hii inasababisha kuoza kwa kitako cha nyanya.
Pia ili kutunza maji katika udongo, inashauriwa kuweka
matandazo katika mzunguko wa shina la nyanya au bustani
yote. Nyanya inayo kua vizuri hutumia maji lita mbili kwa siku
katika kipindi cha jua kali. Hivyo katika umwagiliaji ni busara
kuzingatia kiasi hiki cha maji katika kipindi kama hiki. Pia kama
unatumia keni, mpira au bomba usimwagilie maji juu ya matawi
ya nyanya kwani umwagiliaji wa namna hii utasababisha
kuenea kwa magonjwa ya ukungu. 

CHANGAMOTO ZA KILIMO CHA NYANYA
Matatizo yanayosumbua kilimo cha zao hili ni magonjwa na
wadudu waharibifu. Hapa tutajifunza mbinu mbali mbali za
kuzuia magonjwa na wadudu waharibifu.

WADUDU WAHARIBIFU WA NYANYA
 i>Funza washambuliao matunda
(Funza wa vitumba)

Huyu funza hushambulia mazao mengine kama vile pamba,
mahindi, mtama, maharage n.k. Mdudu huyu hushambulia
matunda ya nyanya kwa kutoboa na hivyo kuyafanya yapoteze
soko kwasababu hayafai kuuzwa katika soko na pia yanaweza
kuoza wakati wa usafirishaji.
Ili kuthibiti piga dawa ya kuua wadudu kama vile thiodan, sevin
ya unga, karate, selecron, n.k. Muarobaini hutumika pia katika
kupunguza uharibifu wa mdudu huyu.

 ii>Inzi weupe
Wadudu  hawa huruka ruka kwenye shamba la nyanya na kukaa
chini ya majani. Mdudu huyu hueneza magonjwa ya virusi kama
vile “ukoma wa nyanya”. Usafi wa shamba na mazingira ya yake ni
muhimu katika kupunguza kuzaana kwa wadudu hawa.

Ili kuthibiti wadudu hawa kwenye bustani ya mboga na pia
katika maficho yao, piga dawa kama vile karate,
cypermethrin mara kwa mara.

Panda mimea mingine (kama vile tumbaku) inayo vutia
wadudu hawa kwenye maeneo ya bustani kisha piga dawa
katika miche ya tumbaku ili kuwaangamiza kwa wingi.

 iii>Minyoo 
Mdudu huyu hukaa kwenye udongo wenye
unyevu wa kutosha. Huvamia mizizi ya nyanya na
kuharibu mfumo wa usafirishaji maji na chakula
kwenye nyanya iliyo athirika. Uking'oa mche wa
nyanya utaona vifundo kwenye mizizi.
Kuzuia
Mbinu za kuthibiti ongezeko la wadudu hawa ni kuharibu hali ya
udongo inayo mfanya aishi na kuzaana. Mbinu hizi ni:

Kulima shamba kwa kutifua baada ya kuvuna nyanya ili
udongo wa chini ukae juani na kukauka. Hii inasaidia
kuangamiza wadudu hawa kwa joto na ukosefu wa maji.

Choma moto na kuteketeza mabaki ya nyanya baada ya
kuvuna.

kuzungusha aina ya zao la nyanya au jamii ya nyanya na
mazao mengine yasiyo vamiwa na adui huyu. Hii
huwafanya minyoo wasipate hifadhi na chakula kutoka
kwenye mimea wanayo tumia kuishi na kuzaliana. Hivyo
idadi yao kupungua katika udongo.

kabla ya kupanda zao weka samadi nyingi katika udongo
kwenye eneo lililo athiriwa na wadudu hawa kwani
hawapendi udongo wenye samadi nyingi. 

Panda manung'a nung'a (
Tagetes spp
) katika eneo
lililoathirika na minyoo hawa, mimea hii hutoa sumu ya
aina fulani ambayo huathiri ukuaji na kuzaliana kwa
minyoo hawa.

MAGONJWA YA NYANYA 
Uchunguzi umeonyesha kuwa  nyanya na mazao mengine jamii ya nyanya ndiyo
hushambuliwa sana na magonjwa kuliko mazao mengine ya
mboga.

  i>UKUNGU
Huu ni ugonjwa unaopenda hali ya unyevu mwingi hewani.
Hivyo hujitokeza zaidi wakati wa masika. Pia sehemu zenye
umande mwingi  wakati wa usiku, ugonjwa huu hujitokeza hata
wakati wa kiangazi
Dalili za ukungu katika nyanya
Ugonjwa huu hushambulia shina, maua na matunda. Kuungua
kwa majani kama vile yamechomwa na maji moto. Chini ya jani
utaona unga unga mweupe. Matunda pia hushambuliwa na
ugonjwa huu na hugeuka kuwa meusi na magumu. 
Kuzuia

Inabidi kuchanganya mbinu mbali mbali za kupambana
na ugonjwa huu.

Kwanza ni usafi wa shamba kwa ujumla yaani
hakikisha unaondoa magugu katika bustani.

Tandaza nyasi juu ya matuta yaliyo pandwa nyanya.

Ondoa majani yaliyo zeeka na yanayo onyesha dalili za
ugonjwa huu. katika kupunguza majani, hakikisha
sehemu za chini ya mmea ni wazi na kuna mzunguko
mzuri wa hewa. Punguza majani katika mmea ili
kupunguza umande na ukungu kwenye mmea.

Baada ya kupunguza majani na machipukizi hakikisha
unatupa mbali majani hayo na siyo kuyaacha kwenye
tuta la bustani.

Ondoa kabisa mmea ulio na dalili za ugonjwa huu

Kupiga dawa katika kipindi cha mvua mara baada ya
mvua kubwa. Fanya hivyo mara moja au mara mbili
kwa wiki kutegemea na wingi au mfululizo wa mvua.
Unapoona jua limetoka piga dawa ili ugonjwa
usijitokeze tena.
Baadhi ya madawa yanayofaa kukinga ugonjwa huu ni Dithane
M45, Bravo, Benlate , Ridomil, Topsin n.k. Kumbuka kuwa kila
mwaka madawa yenye nguvu zaidi hutengenezwa, hivyo uliza
watalaam walioko karibu nawe. Ingawa Blue Copper inauzwa
kwa bei nafuu, nguvu yake in kidogo sana kuthibiti huu
ugonjwa.
Muarobaini pia unaweza kutumika kupunguza ugonjwa huu.
Changanya unga unaotokana na mbegu za muarobaini kiasi
cha nusu kilo ya unga katika lita 20 za maji.

  ii>Ugonjwa wa ukoma wa nyanya
Huu ni ugonjwa wa virus unao enezwa na inzi mweupe. Inzi
hawa hushambulia zaidi nyanya wakati wa kiangazi, hasa
kipindi cha joto kali.
Dalili 

Majani machanga hujikunja na baadaye majani yote.

Kupungua kwa utoaji maua na matunda na hata
yakitokea matunda huwa ni madogo.

Mmea kudumaa na kutozaa kabisa.
Kuzuia
Mbinu madhubuti ni kupunguza kuenea kwa ugonjwa huu
kwenye shamba kwa kudhibiti kuzaana na kuenea kwa mdudu
(inzi mweupe) kama tulivyo ona katika kupambana na mdudu
huyo, yaani:

Kuondoa mimea michache iliyo shikwa na ugonjwa
maana wadudu hawa wanachukua ugonjwa huu kutoka
mimea hii.

Kutumia mbegu zilizo hakikishwa kuwa zinaweza
kuvumilia ugonjwa huu na kutoa mavuno mazuri.

Usilime nyanya karibu na eneo lililo na mazao kama
bamia,mipapai maana mimea hii huhifadhi inzi
mweupe.

Kuua inzi weupe wanaofyonza nyanya na kusambaza
virusi kwa kutumia madawa. Tumia madawa kama vile
Selecron, Decis, Karate n.k.

Epuka kuchanganya zao la nyanya na mazao mengine
yanayohifadhi hawa nzi kama vile mipapai  na bamia.

Ng'oa na kuchoma moto mimea yote iliyougua ugonjwa
huu.

 iii>Ugonjwa wa mmea wa nyanya kuoza sehemu ya shina
inayogusa udongo na mmea kunyauka kama vile umekosa
maji

Wadudu wanaosabisha ugonjwa huu hupatikana ardhini.

Hakuna dawa ya kutibu ugonjwa huu baada ya dalili
kujitokeza.

Kupiga madawa za viwandani ardhini kabla ya kupanda
nyanya husaidia kupungu wadudu wa ugonjwa.

Epuka kupanda nyanya au mazao jamii ya nyanya katika
eneo moja kwa muda mrefu mfulilizo . Baadhi ya mazao
yanayohusiana na nyanya ni bilinganya, pilipili, ngogwe,
mnavu, n.k.

iv>Ugonjwa wa miche michanga ya nyanya kuoza sehemu ya
shina inayogusa udongo na kufa ghafla
Ugonjwa huu hushambulia miche kitaluni na husabishwa na
wadudu waishio ardhini. Mara baada ya dalili, ugonjwa huu
hauna dawa ila unaweza kukingwa kwa kutumia njia zifuatazo:

Choma moto udongo wa kutengezea kitalu kabla ya
kupanda mbegu zako. Kutumia mboji husaidia kukinga
miche dhidi ya ugonjwa huu.

Epuka kumwagilia maji kupita kiasi na kutumia kuvuli
kizito.

v>Matunda ya nyanya kuoza kitako.
Huu ni ugonjwa unaosababishwa na:

Umwagiliaji wa nyanya bustanini usio na mpangilio
maalumu. Mfano, kumwagilia mimea maji mengi kisha
kuiacha bila maji kwa siku kadhaa. 


vi>Upungufu wa virutubisho aina ya chokaa. 
Dalili zake ni matunda ya nyanya kuoza sehemu ya kitako na
kuonyesha rangi nyeusi.
Kuzuia ugonjwa huu, zingatia kuwa na utaratibu mzuri wa
kumwagilia maji ambao haubadiliki ovyo kiratiba na kiasi cha maji
yanayowekwa. Rutubisha mimea kwa madini ya chokaa kwa
kutumia mbolea aina ya CAN zenye madini haya.

UVUNAJI WA NYANYA
Nyanya  za kupelekwa sokoni zinabidi ziwahi kuvunwa mara tuuzinapoanza kuiva ili kuzifanya ziwe salama kipindi cha kusubiri kuuzwa na kusafirishwa.
Nyanya zinazopelekwa viwandani zinatakiwa zivunwe baada ya kukamilika uivaji wake.Ili kuzisafirisha nyanya vizuri tumia maboksi ya mbao.

Sunday, 12 March 2017

UFUGAJI WA KUKU WA KIENYEJI KAMA MRADI

MAHITAJI
  1. Kuku(tetea) 10 na Jogoo 01
  2. Banda bora
  3. Vyombo vya chakula na maji
  4. Chakula bora
  5. Madawa na chanjo kwajili ya magonjwa
  6. Chanzo cha nishati joto na mwanga
  7. Elimu na ujuzi wa malezi bora
  8. Chombo au chumba cha kutunzia vifaranga
  9. Mayai ya kuku wa kisasa/mayai mabovu(ambayo hayakuanguliwa)
  10. Madaftari au kitabu cha kutunzia kumbukumbu
KUKU 10
Wakati wa kuanza mradi wako hakikisha una kuku 10 (matetea) wenye umri sawa na hawajawai kutaga hata mara moja. Chagua kuku wenye rangi nzuri kutoka katika familia bora kutegemea malengo ya mradi wako. Mfano kama lengo lako ni kuzalisha kuku wa kienyeji kwajili ya nyama basi chagua mbegu ambayo inakuwa haraka na yenye uzito mkubwa. Au ikiwa lengo ni mayai basi ni vema kuchagua aina ya kuku yenye kukua haraka na kutaga mayai mengi.
Ili kupunguza gharama za manunuzi ya kuku na hivyo kuongeza faida kwa mfugaji ni vema kununua kuku wadogo ambao wametoka tu kuachishwa kulelewa na mama zao. Kuku hawa utawapata kwa bei ya chini, tena watafaa sana maana watakua na umri mmoja pia.
JOGOO 01
Jogoo mmoja tu anatosha kuwahudumia kuku matetea yote kumi. Hakikisha katika uchaguzi wa jogoo bora lililochangamka, rangi mzuri, upanga umesimama, macho angavu, uzito wa kutosha, rangi nzuri na uwezo mkubwa wa kuzalisha. Ni vema mfugaji akaelewa kwamba kuku wote watakaozalishwa watategemea ubora wa jogoo wake. Uwezo wa kutaga kwa kuku na upatikanaji wa mayai pia hutegemea kwa karibu ubora wa jogoo aliyechaguliwa.
BANDA BORA
Miongoni mwa mambo mhimu naya kwanza kuzingatiwa katika ufugaji wa kuku wa kienyeji kama mradi ni maandalizi ya banda bora. Kuku huhitaji banda bora ili wasiathirike na madhara mbalimbali. Mfugaji anatakiwa kuandaa banda lenye ukubwa wa mita 10 kwa mita 04. Yani urefu uwe mita 10 na upana upana wa mita 04. Kisha kata vyumba vya mita 2 urefu na upana mita 4 kutoka katika banda lako hivyo utakuwa na jumla ya vyumba vitano vyenye ukubwa unaolingana. Ujenzi uzingatie malighafi na vifaa vinavyopatikana kwa urahisi katika mazingira husika. Mfano katika maeneo ambayo fitoKuku zinapatikana kwa urahisi banda linaweza kuandaliwa kwa miti na kukandikwa kwa udongo. Au sehemu ambayo mabanzi hupatikana kwa urahisi basi banda laweza kujengwa kwa kutumia mabanzi. Vifaa vya kujengea banda vizingatie pia gharama na upatikanaji wake katika eneo husika. Baadhi ya vifaa hivyo ni kama ifuatavyo:-
  • Sakafu: Saruji, udongo, mbao, mianzi au fito
  • Kuta: Fito, mabanzi, mbao, nguzo mianzi,udongo, matofali, mawe, mabati na wavu
  • Paa: Nyasi, makuti, majani ya migomba, mabati na vigae.
  • Wigo: Matofali, mbao, fito nguzo, mabanzi, mianzi, matete, wavu na mabati
Banda bora la kuku linatakiwa kuwa na sifa zifuatazo:-
  • Imara, lenye uwezo wa kuwahifadhi kiafya na pia dhidi ya hali ya hewa hatarishi kwa mfano jua kali, upepo, baridi na mvua pamoja na wanyama hatari.
  • Lenye mwanga, hewa na nafasi ya kutosha inayoruhusu usafi kufanyika kwa urahisi.
  • Lijengwe sehemu yenye mwinuko isiyotuama maji, isiyo na upepo mkali na iwe mbali kidogo na nyumba ya kuishi watu.
  • Liwe na vichanja kwa ajili ya kuku kupumzika na kulala.
  • Liwe na sehemu ya kuwekea chakula, maji, kutagia, kuatamia na sehemu ya kulelea vifaranga.
  • Liwe na nafasi ya kutosha kulingana na idadi ya kuku na kuweka vyombo vya chakula na maji.
  • Kwenye mazingira ya joto banda liwe la ukuta mfupi na sehemu kubwa wazi yenye wavu hadi kufikia kwenye paa. Kwenye mazingira ya baridi banda liwe na ukuta mrefu unaokaribia paa na sehemu ndogo tu iwe wazi yenye wavu ili kupitisha hewa na mwanga.
JINSI YA KUFANYA
Wakuze kuku wako hadi watakapofikia muda wa kutaga. Wakianza kutetea ni kiashiria kwamba wakati wa kutaga umekaribia hivyo andaa viota kwajili ya kutagia.
Viota vinapaswa viwe na ukubwa stahiki ili kumwezesha kuku kuyafunika mayai yote vizuri wakati wa kuetamia, viota viwe vinavyozuia mayai kutawanyika, viwe mahali pakavu na safi.
Hakikisha kuku wote wanataga katika viota tofauti. Kuku anapotaga IMG_20140306_153739mayai matatu unapashwa kuchukua mayai mawili na kumwachia yai moja ili kumfanya aendelee kutaga zaidi. Kuku akifikia yai la kumi na mbili anza kumwachia mayai matatu ili kumwandaa kwa kazi ya kuetamia. Kwa kufanya hivi, kuku atataga mayai 15 au zaidi na ikiwa atataga mayai 15 au chini ya hapo nakushauri utafute mayai mengine ujazilizie ili kufikisha mayai 20 kwa kila kuku. Zingatia kwamba mayai unayoyatoa kwa kila kuku, yanatunzwa sehemu salama, mahali pakavu, pasafi na penye joto la wastani.
Kuku wote wanapaswa kuanza kuetamia kwa siku moja. Ili kufanikisha hili inapasa uwe karibu na kuku wako. Kuku mmoja akianza kuetamia mwekee mayai ya kuku wa kisasa au mayai mabovu ya kuku wa kienyeji. Utafanya hivi hadi kuku wako wote watakapoanza kuetamia mayai. Kuweka mayai mabovu au mayai ya kuku yaliyotumika humfanya kuku aendelee kuetamia akijua ni mayai yake.
Baada ya kuona kwamba kuku wako wote wapo tayari kwa kuetamia mayai, waandalie banda maalumu kwajili ya kuetamia yani chumba kimoja katika lile banda letu. Ninashauri kwamba chumba kwajili ya kuetamia kiwe chumba cha kwanza au cha mwisho katika mfuatano wa vyumba vya banda lako. Andaa viota bora vya kuetamia, weka mayai 20 kwa kila kiota, ikiwa hayajatimia unaweza kununua kwa wafugaji wengine ili kuifikia idadi yako.
Waamishe kuku kutoka wanapotagia na kuwaweka katika chumba ulichokiandaa kwajili ya kuetamia. Ili ufanikiwe katika zoezi hili inafaa lifanyike wakati wa usiku na unafanya katika giza. Mweke kuku katika kila kiota na asubuhi wajikute kila mmoja katika kiota chake. Wahudumie kwa chakula na maji ya kutosha. Wakati wa usiku waongezee joto la ziada kwa kuweka jiko au ndoo ya chuma yenye chengachenga za mkaa au kama una umeme weka taa za joto.
Baada ya siku 21-25 kuku wako wataanza kuangua vifaranga. Huu ndio wakati unaotakiwa kuwa karibu sana na kuku wako kuliko wakati wote. Watenge vifaranga mara tu baada ya kuanguliwa; waweke katika chumba chao maalumu mbali na kuku. Kama chumba cha kuetamia kilikuwa cha kwanza basi vifaranga wawe chumba cha mwisho n.k
Ukishawatenga vifaranga mbali na matetea wako, wawekee tena mayai mengine 20 kila tetea, mayai ambayo utayanunua kwa wafigaji wenzako. Hakikisha kuku waliotaga hayo mayai ni wazuri, hawana magonjwa na wanauzito/ukubwa unaofaa. Mayai yote yakaguliwe vizuri ili kujua kwamba yameharibika, yana nyufa au mabovu. Kabla ya kuweka mayai mengine hakikisha chumba chako ni kisafi na viota vimesafishwa, havina wadudu na uchafu wowote. Kuku wako bila kujijua wataanza kuetamia upya mayai uliowawekea.
Ukiwawekea mayai rudia mzunguko kama nilivyokwambia awali. Baada ya siku 21 hadi 25 tena utapata vifaranga wako wengine tena. Fuata kila hatua kama nilivyokwambia hapo awali. Lakini kwa awamu hii nashauri waache matetea wako wapumzike wala usiwapatie mayai mengine tena.
JINSI YA KULEA VIFARANGA
Ikikaribia siku ya 20 tangu ulipowawekea matetea wako mayai katika chumba cha kuetamia, andaa chumba kwa ajili ya kulea vifaranga. Safisha kwa kuondoa uchafu na wadudu wote.
Washa taa ya joto au weka chombo cha kutoa joto katika chumba cha vifaranga nusu saa kabla hujaIMG_20141114_104757anza kuingiza vifaranga wako. Weka pia chakula na maji ya kutosha katika vyombo vyenye umbile na ukubwa utakaowawezesha vifaranga kuvitumia. Tandaza magazeti, maboksi, makaratasi n.k katika sakafu ya chumba hicho. Hakikisha vifaranga wako hawajikusanyi sehemu moja maana wakifanya hivyo wengi wao watakufa ili ufanikiwe katika jambo hili, banda lako liwe la mduara katika kona zake.
Weka joto la kutosha. Joto la kutosha ni lile linalowafanya vifaranga watawanyike chini ya chanzo cha joto wakati kama joto limezidi vifaranya kukimbia mbali na chanzo cha joto na ikiwa joto halitoshi vifaranga hujukusanya chini ya chanzo cha joto.
Baada ya siku 3 utawapatia chanjo ya Gumboro na siku 7 wapatie chanjo ya New Castle, utarudia tena kuwapa chanjo hii baada ya mwezi mmoja kisha utafanya hivi kila baada ya miezi mitatu mitatu.
MAPATO YA MRADI WAKO
Katika uzazi wa kwanza utapata vifaranga 150 kwa wastani wa vifaranga 15 kwa kila kuku. Tuseme haujazingatia kanuni za ufugaji za makala hii ukapata vifaranga 100 yani wastani wa vifaranga 10 kwa kila kuku. Kisha baadaye wakakua wakafa kuku 50 yani watano kwa kila kuku utakuwa na jumla ya kuku 50.
Baada ya wiki 3 utapata tena kuku tufanye kwa mahesabu kama hayo hapo juu kwa hasara utakuwa na kuku wengine 50, na kufanya jumla ya kuku 100. Ikiwa kuku wako baada ya uzao wa pili uliwapumzisha kwa miezi miwili basi mwezi wa 3 utapata tena kuku vifaranga 100 na wiki 3 baadaye utapata wengine 100. Kwa mahesabu kama hayo awali wakikuwa utakuwa na kuku wengine 100 ambao watakuwa.
Baada ya miezi 6 utakuwa na kuku wakubwa wa uzao wa kwanza 50, uzao wa pili kuku 50 na utakuwa na kuku wenye umri wa miezi mitatu 50 wa uzao wa 3 na kuku wengine 50 wa uzao wa 4.
Katika kuku 100 wa uzao wa kwanza na pili, tufanye kuku 50 wawe matetea ukijumlisha na kuku 10 ulioanza nao mradi utakuwa na matetea 60. Ikiwa kila tetea atatotoa vifaranga 10 na vikakua vitano tu, mwishoni utakuwa na kuku 300 na baada ya miezi mitatu kuku wengine 900 toka katika kutoka kwa uzao wa kwanza, wapili na watatu. Hivyo mwaka wa pili utafunga na kuku si chini ya 1,200/= wanaotaga mayai.
Ukiuza majogoo yote 1,200/= kwa bei ya 8,000/= ili upate pesa ya kujenga miundombinu bora maana sasa utakuwa na kuku wengi wanaoendelea kuzaliana kwa kasi utapata pesa kiasi cha TZS 7,200,000/=. Sasa ongeza kuku wako wa kutaga hadi wafikie kuku 4,000 maana sasa utakuwa na pesa za kutosha kuendesha mradi wako.
IMG_20140309_101614Sasa ukiwa na kuku 4000 wa kienyeji wa kutaga mayai, ikiwa kuku 3000 tu watataga ukauza yai moja kwa bei ya haraka haraka ya TZS 250 tu, utapata TZS 750,000/= kwa siku ambayo sawa na TZS 22,500,000/= kwa mwezi na TZS 270,000,000/= kwa mwaka sawa sawa na 128,572 USD. Kumbuka mwamba makadilio haya niya chini sana. Ukifata kanuni zote kwa makini na maombi huku ukimtanguliza Mungu utafikia hata TZS 500,000,000/= kwa mwaka.
Kumbuka unapofanikiwa kupata mapato ya kila aina, umtolee Mungu zaka(x10%) ya mapato yako, pia ukatoe sadaka ambayo ni kubwa kuliko zaka na uwasaidie masikini na wahitaji.
Tunza kumbukumbu zako zote za fedha katika daftari maalumu kuhusu mapato na matumizi ya mradi wako. Pia hali ya kuku wako kuhusu tarehe za chanjo ya mwisho, siku walipoanza kuetamia, magonjwa yanayowasumbua mara kwa mara n.k
Wasiliana nasi kwa maswali, maoni au ushaur

Wednesday, 8 March 2017

KILIMO CHA TIKITI MAJI

Matikiti maji hulimwa kama zao la biashara katika sehemu nyingi duniani zenye hali ya hewa ya joto la wastani. Zao hili lina wapatia watu shughuli za kufanya na hivyo kuwapatia kipato kuanzia kwenye nyanja za uzalishaji hadi kwenye matumizi. Matikiti maji ni mojawapo ya jamii aina ya matunda au mbogaboga inayotambaa. Mimea hii inapatikana katika kundi linalojumuisha mimea mingine kama kama matango,maboga na maskwash. Zao la tikiti maji ni mojawapo ya zao ambalo lina faida kubwa sana ukilinganisha na mazao mengine kwa muda mfupi. 

Katika shamba la ukubwa wa shamba la ekali moja(1.acre) lililoandaliwa vizuri, kupandwa na kuhudumiwa vizuri mkulima ana uwezo wa kuvuna kiasi cha TANI 15-36, ambacho kitamsaidia kupata fedha zitakazo msaidia katika mahitaji yake mbalimbali na kuondokana na Umasikini.
Tikiti maji ni moja ya mazao ya matunda ambayo yamejipatia umaarufu mkubwa kote ulimwenguni. Zao ili ni moja ya mazao ambayo ni rahisi sana kuzalisha na lisilohitaji gharama kubwa. Gharama ya kulima ni kuweza kufahamu mazingira yanayofaa kwa ajili ya tikiti maji, uchaguzi sahihi wa mbegu, upandaji, matunzo na mambo mengine machache yasiyokuwa na gharama kwa mkulima.

Faida ni kubwa kwa mkulima, kwa kuwa zao hili huuzwa kwa kilo na ukubwa hutegemeana na matunzo shambani. Mkuu wangu kilimo cha bustani ni changamoto! Faida ipo tena nzuri ya kuridhisha kabisa. Binafsi nina uzoefu wa kutosha juu ya kilimo cha tikiti maji.

Mathalani unataka kulima ekari1 ya tikiti, huu ni mchanganuo mfupi kabisa;kawaida ekari1=sqm4000 Kwa spacing ya 1m shimo hadi shimo na 2m mstari kwa mstari na kila shimo huwa naacha miche 2 na kuruhusu matunda3. Na kama utapata mbegu ya hybrid itakuwa vizuri zaidi maana MATUNDA yake yanajiuza yenyewe, shambani ni sh1500.
So ukishusha hesabu hapo juu:
Jumla ya mashina ktk ekari1 ni
Sqm4000÷(1m×2m)×2=4000
Idadi ya MATUNDA =(4000×3)=12000
Mauzo shambani ni 12000×1500=Tshs18,000,000/=
Tatizo ni usimamizi, ila kilimo hiki kinalipa sana!anza kulima zao hili ili uweze kujiongezea kipato na kuondokana na umaskini wa kujitakia. Amka sasa.

 

AINA ZA MATIKITI MAJI
Kuna aina kuu mbili za matikiti maji, ambazo ndani yake zimegawanyika kulingana na aina ya mbegu, ilipofanyiwa utafiti na kuzalishwa. Aina hizo ni;
Matikiti yenye rangi ya kijani. Aina hii ni ya duara na huwa na umbo kubwa.
Matikiti yenye rangi ya mabaka mabaka. Aina hii ni ndefu na huwa na umbo la wastani.

Uzalishaji
Kwa kawaida ekari moja huchukua miche elfu mbili na mia tano (2,500) ya matikiti maji. Gharama ya uzalishaji wa zao hili ni ndogo sana ukilinganisha na aina nyinginezo za mazao. Tunda la tikiti maji huwa na uzito wa kati ya kilo mbili mpaka kilo kumi na tano. Kilo moja huuzwa kati ya shilingi za kitanzania 350-1000. Zao hili husaidia katika udhibiti wa magugu shambani, pamoja na utunzaji wa udongo kwa kuwa hutambaa na kufunika udongo.









MATAYARISHO YA SHAMBA NA UPANDAJI
Baada ya kuchagua aina ya mbegu unayohitaji kupanda, inashauriwa kulima shamba na kuacha kwa muda wa kipindi kitakachoruhusu nyasi na magugu mengine kuoza kabla ya kupanda.Hii inasaidia majani na magugu kutoota upesi pindi ukipanda miche yako ya matikiti.
Hakikasha kuwa shamba lako limelimwa vizuri na udongo kulainika, udongo uwe umechimbuliwa kiasi cha inchi 8-10 kwenda chini. Hakikisha kuwa shamba lako lina nafasi ya kutosha kwa kuwa matikiti huhitaji nafasi ya kutosha ikiwa ni pamoja na kupata mwanga wa jua wa kutosha. Katika shamba la ukubwa wa hecta moja kiasi cha kilo 3-4 cha mbegu kinaweza kutumika. Panda mbegu 2 au 3 moja kwa moja katika kila shimo. Usipande katika kitalu kwasababu miche ya mitikiti huwa ni dhaifu sana wakati wa upandikizwaji iwapo itapandwa kwenye kitalu hivyo kupelekea kufa kwa miche hiyo. Panda umbali wa sentimeta 2 chini ya udongo kwa umbali wa sentimeta 30 kutoka shina hadi shina na mita 1.5 - 2 kutoka mstari hadi mstari. Zingatia kutokutumia mbegu za tikiti uliloninua kwasababu linaweza kuwa ni chotara (Hybrid) ambayo hupelekea kushusha kiasi na ubora wa matikiti yatakayo zaliwa kwa sababu yatakuwa ni kizazi cha pili (F2)
Kila shimo hakikisha umeweka mbegu tatu na uzipande kwa utaratibu wa pembe tatu au kwa lugha rahisi mafiga.
Zikishaanza kutoa matunda hakikisha kila shina unaacha matunda matatu mengine kata ili kuruhusu ukuaji mzuri wa tunda kwani yakiwa mengi yatakuwa yanagawana chakula hivyo tunda kuwa dogo ambalo ukipeleka sokoni unapata pesa kidogo.







HALI YA HEWA
Kabla ya kupanda hakikisha kuwa udongo una joto la wastani wa nyuzi joto 70°C. Unaweza kupanda kwa kutumia jembe la mkono au reki. Fukia mbegu kwenye mashimo kwa kutumia udongo laini na shimo lisiwe na kina kirefu, liwe na wastani wa inchi 1, ili kutoa urahisi kwa mbegu kuota. Kwa kawaida tikiti hupandwa kwa mstari mmoja kwenye tuta lenye mwinuko wa inchi 6 na upana wa futi 4. Nafasi kati ya mche na mche iwe ni sentimita 120.
Mimea hii husitawi katika maeneo yenye joto la wasitani yaani haihimili hali ya joto kali sana,baridi kali, mvua nyingi na udongo unaotuamisha maji, magonjwa ya fangasi na wadudu waharibifu. Matikiti hukua vizuri katika maeneo yenye joto la wastani wa nyuzi kati ya 21-30 sentigradi. Iwapo mitikiti itapandwa katika maeneo yenye joto chini ya nyuzi 15 za sentigrade huchelewa kuota
Mvua: kwa upande wa mvua matikiti yanahitaji kiasi cha mvua kati ya millimita 400-600 kwa msimu. Mvua nyingi husababisha uwepo wa magonjwa ya fungusi na bakiteria ambayo huathili mavuno.

 

Hali ya Udongo
Huhitaji udongo wenye rutuba nzuri ulio na virutubisho. Vile vile haihitaji udongo wenye kiasi kikubwa cha tindikali na alikali kubwa. Hali ya udongo katika
kipimo cha pH iwe kati ya 6.0 na 7.0. Ingawa mmea una uwezo vile vile wa kuhimili kwenye udongo wenye pH 5.0

Matandazo (Mulches)
Matandazo ina maana ya kutumia nyasi na mabaki ya mimea mingne kufunika aridhi. Baada ya miche kutambaaa kwa kiasi unaweza kuweka matandazo (mulches) ambayo yaweza kuwa nyasi kavu kwenye udongo ili kuzuia upotevu wa unyevu vile viile kupunguza uotaji wa magugu shambani kwako. Vile vile matandazo yakioza yanaongeza rutuba kwenye udongo na hulinda udongo dhidi ya mmomonyoko wa udongo.


Uwekaji Wa Mbolea
Mbolea za viwandani aina ya NPK au mbolea zenye nitrogen kiasi cha gram 10 hadi 20 ziwekwe wakati mimea ikiwa ni midogo mpaka pale maua ya kike yatakapoanza kuonekana. Vilevile samadi inaweza kuwekwa wakati mimea ikiwa midogo. Baada ya mimea kutengeneza matunda weka mbolea aina ya urea na potassium hadi mara 2 au 3 kwa wiki mpaka matunda yatakapokomaa.


UMWAGILIAJI
Shamba linatakiwa limwagiliwe mara kwa mara wakati mvua zinapokosekana au wakati wa mvua chache. Kipindi muhimu zaidi ambapo mimea hii huhitaji maji ni katika kipindi cha uotaji wa mbegu, wakati wa kutoa maua na siku takribani kumi kabla ya kuvuna. Iwapo kutakuwa na ukosefu wa maji kutasababisha kutengenezwa kwa matunda ambayo si mazuri na yenye umbo baya wakati wa utengenezaji wa matunda pia upunguaji wa ukubwa wa tunda.
Angalizo; usimwagilie matikiti wakati wa jioni sana au usiku kwasababu inaweza kusababisha magonjwa ya majani kutokana na unyevu kukaa muda mrefu. Vile vile usimwagilie juu ya maua wakati wa asubuhi au join kwasababu unaweza kuzuia wadudu kama nyuki ambao ni muhimu sana wakati wa uchavushaji.
Matikiti hustawi na kuwa na kiwango kizuri cha uzalishaji katika ukanda wa joto. Kwa kawaida matikiti hayapendi sehemu yenye maji mengi. Zao hili huchukua takribani siku 75-90 tangu kupandwa hadi kuvuna. Hii hutegemeana na aina ya mbegu, hali ya hewa na utunzaji.



MAUA NA MATUNDA
Matikiti hutoa maua dume na jike kwenye tawi moja. Kwa kawaida maua dume huwa ni madogo zadi na hutoka mapema zaidi yakifuatiwa na maua jike ambayo huwa makubwa zaidi. Maua yanaweza yasionekane au yasitokee iwapo kiasi kidogo cha maji kitamwagiliwa ,upungufu wa viritubisho kwenye udongo na hali ya hewa ya joto/baridi sana n.k
Uchavushaji hufanya na wadudu na iwapo itaonekana hakuna wadudu unaweza kuchavusha kwa kutumia mkono.
Hii hufanywa kwa, kukata maua dume kwa kisu na kufanya uchavushaji kwenye maua jike, maua jike ya mwanzo kwenye tawi ndiyo yenye ukuaji bora zaidi, unaweza kukata tawi lisiendelee kukua baada ya matunda kutokeza hii husababisha kuwa na matunda makubwa zaidi. Hii inawezwa kufanywa zaidi wakati wa Asubuhi.



Wadudu na magonjwa
Kwa kawaida zao hili halina wadudu na magonjwa mengi yanayolishambulia. Hii hutegemeana na uchaguzi sahihi wa eneo linalofaa kwa kilimo cha zao hili pamoja na hali ya hewa. Pamoja na hayo kuna baadhi ya wadudu ambao wamezoeleka katika zao hili.
Wadudu wa matikiti wako wa aina mbalimbali na wanaoshambulia sehemu wanaoshambulia majani na maua, na wengine hushambulia matunda , pia kuna magonjwa ya fangasi ambayo hushambulia mimea. Magonjwa kama Ukungu wa unga (powdery mildew) na wa chini (Downy mildew) na mengine yathibitiwe kabla hayajaleta madhara kwenye mimea.Ili kujua dawa za magonjwa ni vizuri kuchukua sampuli na kwenda nayo kwenye duka la dawa na pembejeo za kilimo ili kupata dawa sahihi. Dawa aina ya Mancozeb inaweza kutumiwa kuthibiti ugonjwa magonjwa hayo hapo juu.
Vilevile matikiti hushambuliwa na wadudu ambao hukaa katika majani, maua na matunda.
Dawa aina ya KARATE itasaidia kuua wadudu wa majani, maua na matunda.
Vidukari: Wadudu hawa ni moja ya wadudu waliozoeleka kwenye matikiti, hushambulia sana zao hili na mara nyingi wasipodhibitiwa mapema Kabla ya kupanda hakikisha kuwa udongo una joto la wastani wa nyuzi joto 70°C. Unaweza kupanda kwa kutumia jembe la mkono au reki. Fukia mbegu kwenye mashimo kwa kutumia udongo laini na shimo lisiwe na kina kirefu, liwe na wastani wa inchi 1, ili kutoa urahisi kwa mbegu kuota.
Kwa kawaida tikiti hupandwa kwa mstari mmoja kwenye tuta lenye mwinuko wa inchi 6 na upana wa futi 4. Nafasi kati ya mche na mche iwe ni sentimita 120.



Ugonjwa
Zao hili hushambuliwa zaidi na ugonjwa wa Ubwiri unga. Ugonjwa huu ni hatari sana na usipodhibitiwa mapema kwa kuwa hushambulia majani ya mmea, husababisha mmea kufa baada ya muda mfupi jambo ambalo huathiri mavuno.Ni vigumu sana kuzalisha zao hili wakati wa msimu wa mvua, hivyo inashauriwa kupanda wakati wa kiangazi. Hali hii itasaidia mazao haya kustawi vizuri, ikiwa ni pamoja na kuepuka matunda kuoza kutokana na mvua kuwa matunda ya tikiti hukaa chini kwenye udongo.

Uvunaji Matikiti
Kabla ya kuvuna matunda ni vema kwanza kujua kuwa matikiti huchukua takribani miezi mitatu mpaka mitano toka inapopandwa mpaka kukomaa. Hii hutegemea na aina ya matikiti yenyewe. Tikiti lililo komaa linaatakiwa na mwonekano wake huwa kama ifuatavyo;
Rangi ya mng’ao hupotea
Upande wa chini wa tunda huanza kuwa na rangi ya njano
Pia kikonyo juu ya tunda hukauka kabisa na kuwa kijivu.
Ila njia nzuri ni kuyapiga kwa kiganja na kusikiliza mlio wake unakuwa kama mlio wa ngoma.
Tumia kisu wakati wa kuvuna matikiti, yabebwe na kuhifadhiwa vizuri kwenye makasha tayari kuuzwa au kwa matumizi binafsi



Matumizi
Matunda ya tikiti maji mara hutumika kwa kuliwa kama tunda ambapo watu wengi hulitumia sana majumbani, pamoja na kutengenezea vinywaji kama vile juisi, ambapo husindikwa na kutengeneza hiyo juice n.k. Lakini pia tunda hili hutumika kama dawa kwa baadhi ya maeneo ambapo majani yake,mizizi na tunda hutumika kutengenezea hizo dawa.
Soko
Tikiti maji ni moja ya mazao yenye soko kubwa na lisilotetereka. Soko kubwa ni kwenye mahoteli, viwanda vinavyotengeneza vinywaji baridi, pamoja na watu binafsi kwa ajili ya matumizi ya nyumbani.Kwa sasa hapa Tanzania soko kubwa la matunda haya liko kwenye kampuni ya Bakhresa anayetumia matunda kutengeneza juice hivyo ukiwa nayo mengi ujue una uhakika wa soko.chakuzingatia usilime kabla hujaandaa soko


Faida za matikiti maji
Tikiti maji ni tunda ambalo linapendwa sana na watu wengi duniani. Tunda hili limekuwa maarufu sana duniani kutokana na umuhimu wake kwa afya na mwili wa binaadamu.
Waingereza huliita tunda hili kwa majina mawili ambayo ni watermelon na milkmelon. Huko nchini India pia tunda hili hutumika sana na kuna aina mbili ambazo ni watermelon (Citrullus vulgaris) na milkmelon (Cucumis melo). Hapa kwetu Tanzania tunatumia sana aina moja ya tikitimaji ambayo ni watermelon (Citrullus vulgaris).
Tunda hili lina faida lukuki ambapo moja ni chanzo cha protini mafuta, nyuzinyuzi, wanga, madini ya calcium, chuma, phosphorus, vitamin A, B6, C, potassium, magnesium na virutubisho vingine vingi.
Pia kama tulivyoona hapo juu kuwa tunda hili ni chanzo cha vitamin A hivyo husaidia kuboresha uhai wa macho na kuondoa sumu mwilini.
Vitamin C inayotokana na tunda hili inasaidia kutia kinga mwilini, kuponya majeraha, kukinga uharibifu wa seli za mwili na kuboresha afya ya fizi na meno.
Wakati vitamin B6 itokanayo na tunda hili husaidia ubongo kufanya kazi vizuri na pia inasaidia kuibadilisha protini kuwa nishati.
Ukila tunda hili pamoja na mbegu zake unaondoa tatizo la upungufu wa mbegu za kiume kwani husaidia kuamsha hisia za kimwili, lakini pia huamsha hisia kwa watu wote hivyo badala ya kutumia vidonge kutibu tumia hili tunda.
Tikitimaji pia kutokana na asili yake ya kuwa na maji mengi, lina uwezo wa kusafisha figo pamoja na njia ya mkojo na kulainisha vizuri mishipa ya damu ili mzunguko wake uwe mzuri.
Tunda hili pia husaidia kupunguza uzito wa mwili na ugonjwa wa kisukari. (Diabetes


NOTE
 ktk kipindi hiki cha masika, kubwa zaidi tafuta mbegu bora kwenye maduka ya kilimo kama balton mwenge, mimi nalima Hybrid F1 sugar queen pamoja na zebra f1, na kiwango cha ekari moja utatakiwa kuwa na gram 300 au 500 na kila shimo panda mbegu 2  na hapa utatakiwa kuwa na mshimo kama 2000.au 4000

Andaa lako shamba vizuri  kabla ya kupanda na hakikisha eneo lako lina maji ya kutosha kwani tikiti linahitaji maji mengi katika uhai wake, Panda kwa mbolea, ni vema zaidi kama utapata samadi na kama utatumia ya viwandani zipo kama vile winner ,Dap,npk 17:17:17kwa kukuzia utatumia CAN, urea ,npk,andaa dawa za wadudu wanaokata majani pindi matikiti yanapoanza kuota tu na pindi unapoona dalili za matikiti kushambuliwa majani (karate itakufaa).
Unahitaji uangalizi wa karibu sana kuanzia mwanzo mpaka mwisho na hakikisha unakuwa na dawa za kutosha kwa ajili ya kuzuia wadudu waharibifu, ukungu hasa kipindi hiki na magonjwa yanayoshambulia majani, maua na matunda.

Gharama kubwa utakayoingia kwenye kilimo hiki ni kwenye mbegu na( ekari moja ni gram 300= 250,000 au 200000 kwa Dar), dawa( hapa inategemea na hali ya eneo na jinsi magonjwa na wadudu wanavyoshambulia), nguvu zako mwenyewe kwenye kumwagilia( hapa kama unatumia ndoo, ila kama unatumia mashine ya kuvutia maji basi utahitaji wastani wa lita 5 kwa ekari moja kila unapomwagilia) na kutunza shamba, kama unatumia kijana basi hapo ni makubaliano yenu, bomba la kupigia dawa ni muhimu sana.
Mavuno ni kuanzia siku 65 mpaka 75 au 90 inategemea na eneo lenyewe na aina ya mbegu, na kiasi cha mavuno kwa ekari moja ni kiasi cha matikiti kama 7000( kila mche mmoja utoe matikiti 2 tu yenye afya nzuri) na soko likiwa nuri basi utauza kwa wastani wa Tsh 1500 au zaidi shambani, na ukiamua kwenda mwenyewe sokoni unaweza kuuza bei nzuri kama ni kipindi mmea huo haupatikani.
Ushauri: usiende shambani na matarajio makubwa zaidi ya kupata hela nyingi ukasahau changamoto zake( mavuno kidogo, hasara na muda), shambani kunahitaji uangalizi wa karibu sana na usijaribu kulima kwa simu hasa kama una watu wasio waaminifu watakuua kwa ugonjwa wa moyo. Pia hizo faida zinazopatiakana ni pale tu utakapo fata ushauri wa kitaalamu na ukaamua kwa dhati kufanya kilimo.